Picha & Matukio

Gundua nyakati zinazofafanua roho ya TASEPA — kuanzia mafunzo ya kitaalamu na warsha hadi programu za kitaifa za saikolojia ya michezo na vikao vya ushauri kwa wanariadha. Galeria yetu inakamata shauku, ushirikiano, na kujitolea nyuma ya kila shughuli inayolenga kuboresha utendaji wa kisaikolojia na ubora wa michezo kote Tanzania.

...
Bw. Kasui & Bw. Gweba

wakati wa Mafunzo - UDSM, 2024.

...
Bw. Kasui & Bw. Juma Hassan

Kufundisha Darasa la Saikolojia lenye Athari Kubwa katika MOROGORO, Chuo Kikuu cha Waislamu, 2024.

...
Kipindi cha Pili

Wanafunzi wanaofuata mbinu za Saikolojia mnamo 2024.

...
Wakufunzi

Picha ya Pamoja - 2024.

...
Bw. Ngongi(Kushoto), Bw. Kasui (Katikati) & Bw. Hassan Juma (Kulia)

Wakiwa UDSM kabla ya kufanya mtihani wa Kozi ya Saikolojia ya Michezo.

...
Shabiki wa DAR CITY, Mwanamuziki Maarufu wa Tanzania HARMONIZE,

Akitoa msaada wa kisaikolojia kwa DAR CITY CLUB waliopata nafasi ya ELITE 16, 2025.

...
Mchezaji Bora wa Ligi ya Taifa na Ligi ya Dar es Salaam 2025,

Omary Sadick ni miongoni mwa wachezaji waliopata faida kutokana na vikao vya TASEPA.

...
Picha ya Pamoja,

Alphonce SIMBU (Kushoto) - BINGWA WA MARATHONI DUNIANI, C. Panga (Wapili Kushoto), Mage Shauri (Katikati), Makamu wa Rais TASEPA (Wapili Kulia) and J SAKILU (Kulia).

...
Wataalamu wa TASEPA,

Wakiiongozwa na Rais, Dkt. Cyprian Maro (KULIA), Bw. Hassan Juma (KATI) na Makamu wa Rais wa TASEPA Bw. Mohamed Kasui (KUSHOTO).

...

Pte Changarawe (RIGHT) a.k.a NGUMI JIWE WA BARANI AFRICA, na OLYMPIAN, kipekee akipewa mawaidha na MAKAMU WA RAIS TASEPA, kabla ya mchezo wake dhidi ya MGANDA, Oct - 2025.

...

...

...

...
Rais, Dkt. Cyprian Maro

UDSM MARATHON.

...

...

...

...

Teknolojia ya Maono na Taswira

Imechukuliwa na Bw. Kasui, wakati wa mafunzo ya uanagenzi – Zanzibar, Uwanja wa Maisara.

Vipindi vya Vitendo

Utaratibu Kabla ya Mechi – Mafunzo ya Kisaikolojia ya Kuwasha Moto Mwili na Akili

Utaratibu Kabla ya Mechi,

Mafunzo ya kisaikolojia kwa kutumia midundo ya muziki kupitia earpods, Huyu ni PUTNEY (USA), mchezaji mpya wa DAR CITY POWER FWD wakati wa BAL AFRICA 2025.

Utaratibu Kabla ya Mechi,

Shujaa/Mashuhuri HASHEEM THABIT, katika hatua hiyo hiyo.